33. Basi, kadhalika kila mmoja wenu asiyeacha vyote alivyo navyo, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.
34. Chumvi ni kitu chema; lakini chumvi ikiwa imeharibika, itiwe nini ikolee?
35. Haiifai nchi wala jaa; watu huitupa nje. Mwenye masikio ya kusikilia, na asikie.