Lk. 14:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Ikawa alipoingia ndani ya nyumba ya mtu mmoja miongoni mwa wakuu wa Mafarisayo siku ya sabato, ale chakula, walikuwa wakimvizia.

2. Na tazama, mbele yake palikuwa na mtu mwenye ugonjwa wa safura.

Lk. 14