Lk. 13:7 Swahili Union Version (SUV)

Akamwambia mtunzaji wa shamba la mizabibu, Tazama, miaka mitatu hii naja nikitafuta matunda juu ya mtini huu, nisipate kitu; uukate, mbona hata nchi unaiharibu?

Lk. 13

Lk. 13:2-8