Lk. 11:1 Swahili Union Version (SUV)

Ikawa alipokuwa mahali fulani akiomba, alipokwisha, mmoja katika wanafunzi wake alimwambia, Bwana, tufundishe sisi kusali, kama vile Yohana alivyowafundisha wanafunzi wake.

Lk. 11

Lk. 11:1-9