Lk. 10:35 Swahili Union Version (SUV)

Hata siku ya pili akatoa dinari mbili, akampa mwenye nyumba ya wageni, akisema, Mtunze huyu, na cho chote utakachogharimiwa zaidi, mimi nitakaporudi nitakulipa.

Lk. 10

Lk. 10:31-42