Lk. 1:67-71 Swahili Union Version (SUV)

67. Na Zakaria, baba yake, akajazwa Roho Mtakatifu, akatabiri, akisema,

68. Atukuzwe Bwana, Mungu wa Israeli,Kwa kuwa amewajia watu wake, na kuwakomboa.

69. Ametusimamishia pembe ya wokovuKatika mlango wa Daudi, mtumishi wake.

70. Kama alivyosema tangu mwanzoKwa kinywa cha manabii wake watakatifu;

71. Tuokolewe na adui zetuNa mikononi mwao wote wanaotuchukia;

Lk. 1