Lk. 1:20 Swahili Union Version (SUV)

Na tazama! Utakuwa bubu, usiweze kusema, mpaka siku ile yatakapotukia hayo, kwa sababu hukuyasadiki maneno yangu; nayo yatatimizwa kwa wakati wake.

Lk. 1

Lk. 1:16-21