Law. 8:16 Swahili Union Version (SUV)

Kisha akayatwaa mafuta yote yaliyokuwa katika matumbo yake, na kitambi kilichokuwa katika ini, na figo zake mbili, na mafuta yake, na Musa akayateketeza juu ya madhabahu.

Law. 8

Law. 8:6-22