Law. 6:21-23 Swahili Union Version (SUV)

21. Utaandaliwa kaangoni pamoja na mafuta; ukisha kulowama utauleta ndani; utasongeza hiyo sadaka ya unga vipande vilivyookwa, iwe harufu ya kupendeza kwa BWANA.

22. Na huyo kuhani aliyetiwa mafuta badala yake katika hao wanawe ataisongeza; itateketezwa kabisa kwa BWANA kwa amri ya milele.

23. Tena kila sadaka ya unga ya kuhani itateketezwa kabisa; isiliwe.

Law. 6