Law. 4:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. BWANA akanena na Musa, na kumwambia,

2. Haya, nena na wana wa Israeli, uwaambie, Kama mtu ye yote akifanya dhambi pasipo kukusudia, katika neno lo lote ambalo BWANA amelizuilia lisifanywe, na kutenda neno lo lote la maneno hayo;

Law. 4