Law. 11:15-19 Swahili Union Version (SUV)

15. na kila kunguru kwa aina zake;

16. na mbuni, na kirukanjia, na dudumizi, na kipanga kwa aina zake;

17. na bundi, na mnandi, na bundi mkubwa;

18. na mumbi, na mwari, na mderi;

19. na korongo, na koikoi kwa aina zake, na hudihudi, na popo.

Law. 11