13. Kisha katika ndege hawa watakuwa ni machukizo kwenu; hawataliwa, ndio machukizo; tai, na furukombe, na kipungu;
14. na mwewe, na kozi kwa aina zake,
15. na kila kunguru kwa aina zake;
16. na mbuni, na kirukanjia, na dudumizi, na kipanga kwa aina zake;
17. na bundi, na mnandi, na bundi mkubwa;
18. na mumbi, na mwari, na mderi;