Law. 11:12-16 Swahili Union Version (SUV)

12. Kila asiye na mapezi wala magamba aliye ndani ya maji ni machukizo kwenu.

13. Kisha katika ndege hawa watakuwa ni machukizo kwenu; hawataliwa, ndio machukizo; tai, na furukombe, na kipungu;

14. na mwewe, na kozi kwa aina zake,

15. na kila kunguru kwa aina zake;

16. na mbuni, na kirukanjia, na dudumizi, na kipanga kwa aina zake;

Law. 11