Kut. 7:21 Swahili Union Version (SUV)

Hao samaki waliokuwa mtoni nao wakafa; na ule mto ukatoa uvundo, Wamisri wasipate kunywa maji ya mtoni; na ile damu ilikuwa katika nchi yote na Misri.

Kut. 7

Kut. 7:13-25