Kut. 6:1 Swahili Union Version (SUV)

BWANA akamwambia Musa, Sasa utaona nitakavyomtenda Farao; maana kwa mkono hodari atawapa ruhusa kwenda zao, na kwa mkono hodari atawafukuza katika nchi yake.

Kut. 6

Kut. 6:1-5