Kut. 4:10 Swahili Union Version (SUV)

Musa akamwambia BWANA Ee Bwana, mimi si msemaji, tokea zamani, wala tokea hapo uliposema na mtumishi wako; maana mimi si mwepesi wa kusema, na ulimi wangu ni mzito.

Kut. 4

Kut. 4:3-18