Kut. 39:33 Swahili Union Version (SUV)

Nao wakamletea Musa hiyo maskani; yaani Hema, na vyombo vyake vyote, vifungo vyake, na mbao zake, na mataruma yake, na nguzo zake, na matako yake;

Kut. 39

Kut. 39:28-43