Kut. 38:25 Swahili Union Version (SUV)

Na fedha ya hao waliohesabiwa, watu wa huo mkutano ilikuwa talanta mia, na shekeli elfu moja na mia saba na sabini na tano kwa kadiri ya shekeli ya mahali patakatifu;

Kut. 38

Kut. 38:24-31