Kut. 35:2 Swahili Union Version (SUV)

Fanyeni kazi siku sita, lakini siku ya saba itakuwa siku takatifu kwenu; ni Sabato ya kustarehe kabisa kwa BWANA; mtu awaye yote atakayefanya kazi yo yote katika siku hiyo atauawa.

Kut. 35

Kut. 35:1-12