Kut. 33:8 Swahili Union Version (SUV)

Hata Musa alipotoka kuiendea ile hema, watu wote waliondoka wakasimama, kila mtu mlangoni pa hema yake, akamtazama Musa, hata alipokwisha kuingia hemani.

Kut. 33

Kut. 33:1-11