Kut. 31:15 Swahili Union Version (SUV)

Kazi itafanywa siku sita; lakini siku ya saba ni Sabato ya kustarehe kabisa, takatifu kwa BWANA; kila mtu atakayefanya kazi yo yote katika siku ya Sabato, hakika yake atauawa.

Kut. 31

Kut. 31:13-18