Kut. 29:9 Swahili Union Version (SUV)

Nawe uwakaze mishipi, Haruni na wanawe, na kuwavika kofia; nao watakuwa na huo ukuhani kwa amri ya milele; nawe utawaweka Haruni na wanawe kwa kazi takatifu.

Kut. 29

Kut. 29:7-17