Kut. 29:18 Swahili Union Version (SUV)

Nawe mteketeze kondoo mzima juu ya madhabahu; ni sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya BWANA; ni harufu nzuri, sadaka iliyosongezwa kwa BWANA kwa njia ya moto.

Kut. 29

Kut. 29:11-28