Kut. 28:35 Swahili Union Version (SUV)

Nayo itakuwa juu ya Haruni akitumika; na sauti ya hizo njuga itasikilikana hapo aingiapo ndani ya mahali patakatifu mbele ya BWANA na hapo atokapo nje, ili kwamba asife.

Kut. 28

Kut. 28:29-38