Kut. 28:11 Swahili Union Version (SUV)

Kwa kazi mtu mwenye kuchora mawe kama vile muhuri ichorwavyo, utavichora hivi vito viwili, sawasawa na majina ya wana wa Israeli, nawe utavitia katika vijalizo vya dhahabu.

Kut. 28

Kut. 28:3-17