Kut. 24:14 Swahili Union Version (SUV)

Akawaambia hao wazee, Tungojeeni hapa, mpaka tutakaporudi kwenu; na tazameni, Haruni na Huri wapo pamoja nanyi; kila mtu aliye na neno na awaendee.

Kut. 24

Kut. 24:8-16