Kut. 23:12 Swahili Union Version (SUV)

Siku sita utafanya kazi yako, na siku ya saba utapumzika; ili kwamba ng’ombe wako na punda wako wapate kupumzika, kisha mwana wa mjakazi wako na mgeni wapate kuburudika.

Kut. 23

Kut. 23:2-15