Kut. 22:7 Swahili Union Version (SUV)

Mtu akimpa mwenziwe amana ya fedha au vitu vingine amtunzie, na vitu vile vikaibwa katika nyumba ya mtu huyo; mwivi akipatikana, atalipa thamani yake mara mbili.

Kut. 22

Kut. 22:1-8