Kut. 21:35 Swahili Union Version (SUV)

Ng’ombe wa mtu akimwumiza ng’ombe wa mtu mwingine hata akafa; ndipo watamwuza huyo ng’ombe aliye hai na kugawanya thamani yake; na ng’ombe aliyekufa pia watamgawanya.

Kut. 21

Kut. 21:31-36