Kut. 21:28 Swahili Union Version (SUV)

Ng’ombe akipiga pembe mtu mume au mtu mke, nao wakafa, huyo ng’ombe atauawa kwa kupigwa kwa mawe, nyama yake isiliwe; lakini mwenye huyo ng’ombe ataachiliwa.

Kut. 21

Kut. 21:22-33