Kut. 20:11 Swahili Union Version (SUV)

Maana, kwa siku sita BWANA alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo BWANA akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa.

Kut. 20

Kut. 20:5-19