Kut. 2:11 Swahili Union Version (SUV)

Hata siku zile, Musa alipokuwa mtu mzima, akatoka kuwaendea ndugu zake, akatazama mizigo yao. Akamwona Mmisri anampiga Mwebrania, mmojawapo wa ndugu zake.

Kut. 2

Kut. 2:5-18