Kut. 18:5 Swahili Union Version (SUV)

Basi Yethro, mkwewe Musa, pamoja na mke wa Musa na wanawe wawili wakamwendea Musa huko nyikani, hapo alipokuwa amepanga, kwenye mlima wa Mungu;

Kut. 18

Kut. 18:1-12