Kut. 18:10 Swahili Union Version (SUV)

Kisha Yethro akasema, Na ahimidiwe BWANA aliyewaokoa na mikono ya Wamisri, na mkono wa Farao; aliyewaokoa watu hao watoke mikononi mwa Wamisri.

Kut. 18

Kut. 18:1-15