Kut. 14:25 Swahili Union Version (SUV)

Akayaondoa magurudumu ya magari yao, hata yakaenda kwa uzito; na Wamisri wakasema, Na tukimbie mbele ya Israeli; kwa kuwa BWANA anawapigania, kinyume cha Wamisri.

Kut. 14

Kut. 14:17-30