Kut. 12:30 Swahili Union Version (SUV)

Farao akaondoka usiku, yeye na watumishi wake wote, na Wamisri wote; pakawa na kilio kikuu katika Misri; maana hapakuwa na nyumba hata moja asimokufa mtu.

Kut. 12

Kut. 12:27-38