Kum. 7:16 Swahili Union Version (SUV)

Nawe angamiza mataifa yote atakayokupa BWANA, Mungu wako; jicho lako lisiwahurumie, wala usiitumikie miungu yao; kwani litakuwa ni mtego kwako jambo hilo.

Kum. 7

Kum. 7:12-19