Kum. 5:17-21 Swahili Union Version (SUV)

17. Usiue.

18. Wala usizini.

19. Wala usiibe.

20. Wala usimshuhudie jirani yako uongo.

21. Wala usimtamani mke wa jirani yako; wala usiitamani nyumba ya jirani yako, wala shamba lake, wala mtumwa wake, wala mjakazi wake, wala ng’ombe wake, wala punda wake, wala kitu cho chote alicho nacho jirani yako.

Kum. 5