Kum. 31:6 Swahili Union Version (SUV)

Iweni hodari na moyo wa ushujaa, msiogope wala msiwahofu; kwa maana BWANA, Mungu wako, yeye ndiye anayekwenda pamoja nawe, hatakupungukia wala kukuacha.

Kum. 31

Kum. 31:5-7