Kum. 3:8 Swahili Union Version (SUV)

Tukaitwaa na nchi wakati huo, katika mikono ya hao wafalme wawili wa Waamori waliokuwa ng’ambo ya Yordani, tokea bonde la Arnoni mpaka kilima cha Hermoni;

Kum. 3

Kum. 3:2-17