Kum. 29:19 Swahili Union Version (SUV)

ikawa asikiapo maneno ya laana hii, ajibarikie mtu huyo moyoni mwake, na kusema, Nitakuwa katika amani, nijapotembea katika upotoe wa moyo wangu kwa kuangamiza mbichi na kavu;

Kum. 29

Kum. 29:14-21