Kum. 28:45 Swahili Union Version (SUV)

Na laana hizi zote zitakujilia juu yako, zitakuandama na kukupata, hata uangamizwe, kwa kuwa hukuisikiza sauti ya BWANA, Mungu wako, kushika maagizo yake na amri zake alizokuagiza;

Kum. 28

Kum. 28:36-53