Kum. 25:11 Swahili Union Version (SUV)

Washindanapo waume wao kwa wao, akakaribia mke wa mmojawapo, ili kumwokoa mumewe katika mkono wa ampigaye, yule mke akatoa mkono wake, na kumkamata tupu yake;

Kum. 25

Kum. 25:2-13