Kum. 25:1 Swahili Union Version (SUV)

Pakiwa na mashindano kati ya watu, wakaenda maamuzini, na hao waamuzi wakawaamua; na wampe haki mwenye haki, na wamhukumie makosa yule mwovu;

Kum. 25

Kum. 25:1-11