Kum. 22:9-13 Swahili Union Version (SUV)

9. Usipande shamba lako la mizabibu aina mbili za mbegu; yasije yakaondolewa matunda yote, mbegu ulizopanda na maongeo ya mizabibu yako.

10. Usilime kwa ng’ombe na punda wakikokota jembe pamoja.

11. Usivae nguo iliyochanganyikana sufu na kitani pamoja.

12. Ujifanyizie vishada katika pembe nne za mavazi yako ya kujifunika.

13. Mtu akitwaa mke, akamwingilia na kumchukia,

Kum. 22