Kum. 20:6 Swahili Union Version (SUV)

Ni mtu gani aliye hapa aliyepanda shamba la mizabibu, wala hajatumia matunda yake? Aende akarudi nyumbani kwake asije akafa mapiganoni, yakatumiwa na mtu mwingine matunda yake.

Kum. 20

Kum. 20:4-8