Kum. 20:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Utokapo kwenda vitani kupigana na adui zako, na kuona farasi, na magari, na watu wengi kuliko wewe, usiwaogope; kwa kuwa BWANA Mungu wako, yu pamoja nawe, aliyekukweza kutoka nchi ya Misri.

2. Na iwe, msongeapo mapiganoni, kuhani na akaribie na kusema na watu,

Kum. 20