Kum. 2:1 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo tukageuka, tukashika safari yetu kwenda jangwani kwa njia ya Bahari ya Shamu, kama alivyoniambia BWANA; tukawa kuizunguka milima ya Seiri siku nyingi.

Kum. 2

Kum. 2:1-8