Kum. 16:10 Swahili Union Version (SUV)

Nawe sikukuu ya majuma umfanyie BWANA, Mungu wako, kwa kutoa sadaka ya hiari ya mkono wako, utakayotoa kwa kadiri akubarikiavyo BWANA, Mungu wako;

Kum. 16

Kum. 16:9-13