Kum. 15:18 Swahili Union Version (SUV)

Wala usione ugumu, utakapomwacha huru kuondoka kwako; kwani amekutumikia miaka sita kwa ujira mara mbili wa mwajiriwa; na BWANA, Mungu wako, atakubarikia kwa yote utakayofanya.

Kum. 15

Kum. 15:9-23